Jicho La Ra
5
songs
793
plays
Run Tingz Remix Run Tingz Remix
Tunakimbiza mavitu. Mida ambayo mipango ilianza kunyooka kwenye fani, milango ya neema ilianza kufungukia hapo.
Santuri Santuri
Ni wimbo wa kudhihirisha UHALISI wa fani baada ya miaka yote tulokaa kimya unaweza kuona mitindo inavyokuwa na mdundo ulokatwa na Ra mwenyewe.
B-yond Belief B-yond Belief
Ni ukarabati wa wimbo wetu wa awali na kibwagizo aliimba Makanga, mara hii tulimleta Binti mmoja mtamuuu sana aitwaye Seko. Humu pia ni moja ya nyimbo chache kwenye santuri KWANZANIANZ ambapo wasanii wa kundi zima wamehusika.
Fonk Maniak Fonk Maniak
Umahiri kwenye fani..Kucheza na lugha ya kigeni kama kawaida.
Ra..Ni muasisi wa Fani ya Hiphop Bongo. Mwanzilishi wa Kundi la Kwanza Unit. Mwandaaji wa video za mziki na mtayarishaji filamu. Kwake unapata HIP HOP HALISI. Midundo vumbi yenye mahadhi ya sauti ya handaki. Mashairi madhubuti yanayowakilisha HARAKATI ZA MWAFRIKA. Nadharia za kabwela anayetumia usanii makini , kwenye kuwakilisha Hali halisi ya maisha ya kawaida kwenye kona za BONGO.Band/artist history
Watu wapo walikuwepo na watakuwepo.
RaHave you performed in front of an audience?Nachanganya miziki ya wapigaji Bendi na pia muziki wa kutengeneza Studio, ambao natengeneza mwenyewe.
Your musical influences
Natayarisha midundo mwenyewe, napiga ngoma za kienyeji. Kuwa mtu mweusi na harakati za kiutamaduni zinaleta msisimko mkubwa sana na kila tendo linahusika na sanaa, muziki ni kama mila na desturi.What equipment do you use?
Ngoma, Kora, marimbaAnything else?
Tuamkeni washkaji.Contact
Please sign up or log in to contact the artist.
Sign up
Log in
Comments (5)
by the way i love your work...exalento...mosto prego to offer us kenyan the best heart soothing musica...from nefetiti...
hey bro..this is nefetiti from canada..trying to expand my self as young kenya ta'arabu artist, let me know if you have any swahili love lyrics you can offer me..or am willing to pay for the work and if you got any bits that you would like to offer me i would appriciate...i know i got wat it takes to be a new ta'arabu mombassa girl so gim me some help..holla plz.. very important..tanks....your sis...nefetiti...or aisha....at ummi75@hotmail.com...am the next big thing in kenya if God wish....love you all...peace out
Man i'm Kenyan...and this is some really nice stuff...how is possible for me to get some more of this?
Nice Work.. Keep it Up..check me out when you have a chance...
i like your music. heres an artist you should check out. thanks.
www.soundclick.com/krookid
Promoted
Not related to artist