Song picture
Run Tingz Remix
Comment Share
Free download
Tunakimbiza mavitu. Mida ambayo mipango ilianza kunyooka kwenye fani, milango ya neema ilianza kufungukia hapo.
Ra..Ni muasisi wa Fani ya Hiphop Bongo. Mwanzilishi wa Kundi la Kwanza Unit. Mwandaaji wa video za mziki na mtayarishaji filamu. Kwake unapata HIP HOP HALISI. Midundo vumbi yenye mahadhi ya sauti ya handaki. Mashairi madhubuti yanayowakilisha HARAKATI ZA MWAFRIKA. Nadharia za kabwela anayetumia usanii makini , kwenye kuwakilisha Hali halisi ya maisha ya kawaida kwenye kona za BONGO.
Song Info
Charts
Peak #521
Peak in subgenre #11
Author
Ra, D-rob ama Zomba(MAP)
Rights
KU 1997
Uploaded
October 19, 2004
Track Files
MP3
MP3 3.7 MB 128 kbps 0:00
Story behind the song
Ilikuwa utihimishaji wa santuri yetu ya KWANZANIANZ, Masta Jei alifanya huu mdundo na nilipousikia mi na mwanangu Zomba tukaamua kuufanyizia. Majukumu ya KU yote humu yamewekwa bayana kabisa.
Lyrics
Zichambue kivyako.
On Playlists
Comments
Please sign up or log in to post a comment.